• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Mpanda District Council
Mpanda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Elimu Sekondari

https://matokeo.necta.go.tz/csee/csee.htm

MWAMTUKA kuinua elimu Tanganyika

Walimu wakuu, wakuu wa shule na maafisa elimu kata wa Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamepewa mafunzo ya uwezeshaji wa uboreshaji wa matumizi ya mfumo wa wazi wa mapitio na tathmini ya utendaji kazi (MWAMTUKA). Mafunzo hayo yamefanyika Desemba 8, 2018 katika ukumbi wa chuo Kikuu huria cha Tanzania, tawi la Katavi.

Akifungua mafunzo hayo, mgeni rasmi ambaye pia ni afisa utumishi katika ofisi ya katibu tawala wa mkoa Katavi Bw. Boko Majinge amewashauri walimu kujifunza kwa bidii namna ya kujaza mfumo huo wa upimaji wa utendaji kazi kwa waajiriwa (OPRAS) ili uinue elimu ya Tanganyika. Katika mfumo huo kuna vipengele muhimu 8. Kila kipengele kinaweza kusaidia kuinua elimu kama kitazingatiwa na kinaweza kushusha elimu kama kitapuziwa.

Ujazaji OPRAS ni mfumo wa wazi ambao unamtaka mwajiri na mwajiriwa au Mkuu wa Idara au kitengo akae na kila mtumishi aliyopo chini yake ili wajadili na kukubaliana malengo ya utendaji kazi kwa kipindi cha muda wa miezi 6 na baadaye kukaa tena pamoja kufanya tathmini ya nusu mwaka.

“Nawapongeza maafisa elimu wa Tanganyika kwa kuitisha mafunzo haya kwa viongozi hawa. Wengi wenu mlikuwa hamjazi OPRAS ama kwa kujua au kutokujua umuhimu wake. Ndiyo maana wengine walikuwa wanajaziwa na wengine kazi yao ilikuwa kuigilizia kwa mtu mwingine. Kila mmoja wenu akawajibike kuhakikisha anakaa na wa chini yake na kuweka makubaliano ya kiutendaji” Amesema Majinge

Naye afisa elimu msingi, Bw. Keny Shilumba amewaagiza walimu hao kuhakikisha kila mmoja anatumia mafunzo hayo vizuri ili wanafunzi wapate haki yao. Sifa ya mwalimu ni kufaulisha wanafunzi kwa njia zinazokubalika.

Hata hivyo, afisa elimu sekondari Bw. Michael Lyambilo amewaambia walimu kuwa siku hizi ni ukweli na uwazi, hivyo tusimamie miongozo na walaka na kanuni zinazoongoza masuala ya elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA November 17, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 16, 2020
  • WANAFUNZI WALIYOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA, 2021 HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA December 19, 2020
  • KUITWA KAZINI WATUMISHI WA KADA YA AFYA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA December 21, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KMCL KUWAINUA KIUCHUMI WACHIMBAJI WADOGO

    March 02, 2021
  • KIWANDA CHA PAMBA KUTOA MSAADA KWA JAMII

    March 02, 2021
  • 5.7 BIL KUKUSANYWA 2021/2022

    January 29, 2021
  • WANANCHI WANUFAIKA NA HELA ZA 'UKAA'

    January 08, 2021
  • Tazama zote

video

DC wa Tanganyika asisitiza michezo katika kata ya Bulamata
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    Mpandadc

    Sanduku la barua: 1 Mpanda

    Telephone: 025-2820068

    Simu ya mkononi: 0784428273

    Barua pepe: ded@mpandadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 mpanda dc . All rights reserved.