Halmshauri ya wilaya ya Mpanda ilianzishwa 1983 na ilikuwa ndani ya mkoa wa Rukwa. Mwaka 2012 wilaya ya Mpanda iligawanywa na kuzaa wilaya ya Mlele na Mpanda yenyewe. Mkoa wa Katavi umeanzishwa 2012 baada ya kuigawanya halmashauri ya wilaya ya Mpanda na kupata wilaya 3 na halmashauri za wilaya 5. Wilaya hizo ni wilaya ya mpanda ambayo ina halmashauri za wilaya 2 ambazo ni halmashauri ya Manispaa ya mpanda na halmashauri ya wilaya ya Nsimbo.
Wilaya ya Mlele ina halmashauri 2 ambazo ni halmashauri ya wilaya ya Mlele na halmashauri yawilaya ya Mpimbwe. Wilaya ya Tanganyika ina halmashauri 1 ambayo ni halmashauri ya wilaya ya Mpanda (halmashauri mama).
Mpandadc
Sanduku la barua: 1 Mpanda
Telephone: 025-2820068
Simu ya mkononi: 0784428273
Barua pepe: ded@mpandadc.go.tz
Copyright ©2018 mpanda dc . All rights reserved.