• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Mpanda District Council
Mpanda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Hati za kimila kutolewa

Posted on: June 14th, 2018

Wananchi wa vijiji vya Mnyagala na Nkungwi wanatarajia kumaliza tatizo la wavamizi wa mashamba pori na maeneo ya makazi baada ya kukubaliana kuanza kuwa na hati za kimila.

Mpango wa kuanza utoaji wa hati za kimila umeanza Juni 12, 2018 kwa kufanya mikutano ya hadhara ya kuwajengea uwezo wa kuelewa faida za hati.

Afisa ardhi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Musa Segeja alisema, unapokuwa na eneo lililopimwa na kupewa hati ndipo unaweza kusema inaishi katika eneo sahihi. Pia unaweza kutumia hati ya kiwanja au shamba kuombea mkopo wa kibiashara au wa shughuli zingine.

Wananchi walipongeza mpango huo wa utoaji wa hati za kimila ili kuondoa migogoro ya ardhi inayosababishwa na wavamizi wa maeneo kwa kudai wao ndio waanzilishi wa eneo flani.

Halmashauri ya wilaya ya Mpanda ina vijiji 55 na kati ya hivyo, vijiji 23 vimefanyiwa matumizi bora ya ardhi ijapokuwa bado kuna mwingiliano wa matumizi ya ardhi tofauti na mpango wake. Eneo la kilimo unakuta kuna watu wanaweka makazi na eneo la ufugaji unakuta kuna wengine wanavamia na kuendesha shughuli zingine.

Ujio wa hati za kimila ndio mwarobaini wa migogoro ya ardhi na wavamizi wa maeneo tengefu. Hati hizo zitatolewa kwa gharama ya shilingi 50,000 kwa kila eneo.

Matangazo

  • MWALIKO WA UWEKEZAJI UJENZI WA VIBANDA KATIKA MAENEO YA VITUO VYA MAGARI (BUS STAND) LUHAFWE, KASEKESE, MAJALILA NA IKOLA August 29, 2018
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAIL December 14, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Wananchi kumilikishwa msitu wa Tongwe Magharibi

    January 11, 2019
  • Ukamilishaji madarasa shule tatu za sekondari waiva

    January 14, 2019
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

    December 14, 2018
  • Wakulima Tanganyika wakopeshwa matrekta ya kilimo

    December 11, 2018
  • Tazama zote

video

Viongozi wa serikali waanza vizuri 2019.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mpandadc

    Sanduku la barua: 1 Mpanda

    Telephone: 025-2820068

    Simu ya mkononi: 0784428273

    Barua pepe: ded@mpandadc.go.tz

Other Contacts

   

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 mpanda dc . All rights reserved.