• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Mpanda District Council
Mpanda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Hati za kimila zakamilika Vikonge

Posted on: September 26th, 2018

Halmashauri ya wilaya ya Mpanda (Tanganyika ) kwa kushirikiana na wadau wa taasisi ya Jane Goodall wamekamilsha hati za hakimiliki za kimila 60 za mashamba.  Mashamba hayo ya wananchi wa kijiji cha Vikonge yamepimwa na kufanyiwa mchakato wa kukamilika kwa hati hizo kwa gharama za halmashauri ya wilaya ya Mpanda pamoja na wafadhili (JGI).

Zoezi hilo lilianza mwanzoni mwa Septemba, 2018 na kukamilika Septemba 26, 2018 na leo Septemba 27,2018 wananchi wa vikonge wanakabidhiwa hati za hakimiliki za kimila katika ofisi ya kijiji.

Wananchi hawakuchangia gharama za upimaji wa maeneo yao isipokuwa watachangia shilingi 5,000 kwa mwaka kwa kila hati kama ada ya ardhi. Fedha hizo zitalipwa katika ofisi ya kijiji kwa ajili ya maendeleo ya kijiji.

“Tumeanza kumilikisha mashamba ya wananchi wa Vikonge kwa kuwaandalia hati za hakimiliki za kimila ili kuwalindi dhidi ya wavamizi wa mashamba. Tumeanza na vijiji vyote vilivyofanyiwa matumizi bora ya ardhi. Vikonge tumefanya kwa awamu ya kwanza kwa kuanza na mashamba 60 na baadaye tutaendelea na awamu ya pili ambapo tutatoa hati zaidi ya 500 na hatimaye kukamilisha mpango mzima”. Alisema ofisa ardhi mteule Bw. Musa Segeja

Hata hivyo, Halmashauri ya wilaya ya Mpanda ina vijiji 55 na kati ya hivyo, vijiji 23 vimefanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi na tayari vijiji vya Mnyagala, Nkungwi na Vikonge mianza kunufaika na umilikishwaji wa hati za hakimiliki za kimila. Kwa sasa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda inaendelea kuwahamasisha wananchi kuchangia gharama za hati za hakimiliki za kimila. Kwa vijiji ambavyo havina ufadhili, kila mwananchi anayehitaji hati ya hakimiliki ya kimila atachangia shilingi 50,000 kwa kila hati.

Matangazo

  • MWALIKO WA UWEKEZAJI UJENZI WA VIBANDA KATIKA MAENEO YA VITUO VYA MAGARI (BUS STAND) LUHAFWE, KASEKESE, MAJALILA NA IKOLA August 29, 2018
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAIL December 14, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Wananchi kumilikishwa msitu wa Tongwe Magharibi

    January 11, 2019
  • Ukamilishaji madarasa shule tatu za sekondari waiva

    January 14, 2019
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

    December 14, 2018
  • Wakulima Tanganyika wakopeshwa matrekta ya kilimo

    December 11, 2018
  • Tazama zote

video

Viongozi wa serikali waanza vizuri 2019.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mpandadc

    Sanduku la barua: 1 Mpanda

    Telephone: 025-2820068

    Simu ya mkononi: 0784428273

    Barua pepe: ded@mpandadc.go.tz

Other Contacts

   

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 mpanda dc . All rights reserved.