• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

MKURUGENZI MTENDAJI TANGANYIKA NA BADIMI RANCHI GROUP WAMALIZA MGOGORO WA ENEO LA UFUGAJI, MAKUBALIANO YAKWEKWA RASMI.

Posted on: December 2nd, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw Shaban Juma amekutana na Kikundi cha Wafugaji wa Ng’ombe cha BADIMI RANCH, ambacho kilikuwa na mgogoro wa Kimkataba juu ya eneo la ufugaji na malisho.

Katika kikao hicho kilichafanyika Desemba 02, 2024 ofisini kwake na kuwapa ushauri na njia za kufanya ili waweze kupata eneo la ufugaji.

“Kulikuwa na changamoto ya upatikanaji wa eneo la ufugaji, na hii leo tumekutana na kikundi cha wafugaji-BADIMI RANCH kuanzisha mchakato mpya wa kimkataba ambao utakuwa na manufaa kwa pande zote mbili” DED Shaban Juma.

“Nimewambia warudi wakakubaliane na wenzao wachague njia mbili, tuwape eneo ili wafanye uwekezaji wao kwa sababu tayari eneo lipo, au tuwape pesa zao ambazo nazo zipo.

“Serikali imejipanga vizuri kuwahudumia wananchi wote na wawekezaji, hapa Tanganyika kuna maeneo mengi ya uwekezaji yametengwa hivyo nawakaribisha wawekezaji kuja kuwekeza.” Bw Shaban Juma-DED H/W ya Tanganyika.

Kwa upande wa wawakilishi wa kikundi hicho ambaye ni Mjumbe wa Kamati tendaji Chama cha Wafugaji Tanzania, kanda ya Kaskazini Dkt Christopher Nzela alisema wanepokea ushauri wa Mkurugenzi na wapo tayari kuufanyia kazi, ili waendelee na kazi yao ya ufugaji.

“Ushauri aliitupa Mkurugenzi ni mzuri sana, ametupa machaguo mawili eneo au pesa zetu kwa taarifa yake ni kwamba zote, ila hitaji letu kubwa ni eneo na tunaamini tutakuwa na mwisho mzuri hatimaye tuendelee na zoezi la ufugaji kama ambavyo lengo letu lilivyo” Dkt Nzela.

Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika ina maeneo mengi ya uwekezaji kwa kilimo, ufugaji nk hivyo wadau wote wa maendeleo na wawekezaji, tunawakaribisha sana kuwekeza kwetu.

Tanganyika safi na atakaye aje.

@rs.katavi @mifugonauvuvi @abdallahulega @maelezonews

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • WABUNGE WA KATAVI, RUKWA NA KIGOMA WATEMBELEA BANDARI YA KAREMA; WAPONGEZA UJENZI WA MELI NA BANDARI YA KISASA.

    May 12, 2025
  • JIMBO LA UCHAGUZI LA MPANDA VIJIJINI LABADILISHWA JINA.

    May 12, 2025
  • KIKAO CHA KUPANDISHA VYEO H/W YA TANGANYIKA CHAFANYIKA

    May 08, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.