• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

MKURUGENZI TANGANYIKA ATANGAZA KUANZA HAMASA ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: September 27th, 2024

MKURUGENZI TANGANYIKA ATANGAZA KUANZA HAMASA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, WANANCHI WAITWA KUJIANDIKISHA KWA WINGI, WENYE SIFA ZA KUGOMBEA UWANJA NI WAO.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw. Shaban J. Juma leo ametangaza rasmi kuanza kwa Hamasa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 kote nchini,

Akitoa Tangazo hilo, Bw. Shaban Juma ameweka bayana mtiririko wa matukio mbalimbali ambayo yatafanyika mpaka kuifikia siku rasmi ya kuchagua viongozi wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji,

Pia Bw. Shaban Juma aliongeza kwa kuwataka wananchi wote wilayani Tanganyika kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ifikapo tarehe 11-20.10.2024 sambamba na wenye sifa za kugombea wasisite wajitokeze waweze kugombea,

Kwa upande wake Afisa Uchaguzi wa Wilaya ya Tanganyika Bw. Alphonce Mwakyusa aliwataka wahusika wote wa uchaguzi wa serikali kuhakikisha wanazingatia kanuni na taratibu za uchaguzi huo ili kuepusha migongano isiyokuwa ya lazima,

Vilevile, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi wilayani Tanganyika Bw. Issa Bida alisema kuwa wamepokea kwa mikono miwili tangazo hilo na sasa ni wajibu wao kuwambusha wananchi na wanachama wao kujiandaa na uchaguzi huo ikiwemo kujiandikisha na wenye sifa za kugombea basi wagombee,

Aidha, Katibu wa Chadema wilaya ya Tanganyika Bw. Thomas Masanja alitoa rai kwa Msimamizi wa Uchaguzi kwa wilaya ya Tanganyika kuhakikisha wanavishirikisha vyama vyote kwa hatua zote ili kuweza kufanikisha zoezi hilo kwa pamoja,

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 utafanyika siku ya tarehe 27.11.2024 na kwa wilaya ya Tanganyika, Jumla ya Tarafa 3, Kata 12, Vijiji 39 na Vitongoji 190 vitashiriki.

@ortamisemi @ofisi_ya_mkuu_wa_mkoa_katavi

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • WABUNGE WA KATAVI, RUKWA NA KIGOMA WATEMBELEA BANDARI YA KAREMA; WAPONGEZA UJENZI WA MELI NA BANDARI YA KISASA.

    May 12, 2025
  • JIMBO LA UCHAGUZI LA MPANDA VIJIJINI LABADILISHWA JINA.

    May 12, 2025
  • KIKAO CHA KUPANDISHA VYEO H/W YA TANGANYIKA CHAFANYIKA

    May 08, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.