• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

SAMIA INFRASTRUCTURE BOND YAFIKA TANGANYIKA.

Posted on: January 7th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika amefungua mafunzo ya Uwekezaji wa Hati Fungani kwenye miradi ya Kimkakati kutoka Benki ya CRDB, na UTT AMIS, Chuo Kikuu cha Kilimo SUA, ambao walifika Wilayani humu kufanya mafunzo haya yenye tija kwenye uwekezaji haswa kwenye mchakato wa “SAMIA INFRASTRUCTURE BOND”

Katika mafunzo hayo Mhe DC Buswelu amesema kuwa baada ya mafunzo hayo watumishi na wataalam wengine wakawe mabalozi wazuri, na kujikita zaidi kwenye kutekeleza mipango ya maendeleo.

“Tunakwenda kufungua mafunzo ambayo utekelezaji wake unakwenda kuanza kufanyika haraka, mafunzo haya ni bahati ya kipekee kwetu ikiwa sisi ni watu wa kwanza kupata mafunzo hivyo tukitoka hapa tuende kuwa mabolozi wazuri” DC Buswelu.

“Suala la Elimu ya Biashara ya Kaboni linahitaji uelewa mpana na elimu kwa watu wote kwa sababu jambo hili limebeba maslahi mapana kwa jamii nufaika na serikali, miradi itakayokubalika ikatekelezwe iwe yenye mashiko kwa sasa na kizazi za baadae” DC Buswelu.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa H/W ya Tanganyika Shaban Juma ametaja maeneo waliyojipanga kufanya uwekezaji huo, ikiwemo sekta ya kilimo, uuzaji wa viwanja (Real Estate), uwekezaji kwenye majengo ya kibiashara ikiwemo Hoteli za kisasa nk.

“Hakuna sababu ya sisi ambao tumekaa hapa Tanganyika na degree zetu na Matsers halafu siku tunaondoka hatujaacha alama yeyote, hii haifai inatakiwa tuwe na mawazo chanya yatakayoacha alama” Shaban Juma. DED H/W ya Tanganyika.

“H/W ya Tanganyika ndio Halmashauri mama na kubwa kuliko zote Mkoa wa Katavi, hivyo Halmashauri hii ina vyanzo vingi vya mapato, na tumeamua kuwezesha mafunzo haya ili kuongeza wigo mpana wa kuwekeza na kujitegemea.

“Maeneo ambayo Halmashauri imepanga kuwekeza ni Sekta ya Kilimo ambapo uwekezaji mkubwa umefanyika ikiwemo wawekazaji wakubwa katika kilimo cha Mbegu ambao ni Seedland Ltd, Meru Agro na ASA wameanza kuwekeza na wataleta Teknolojia ya Kimapinduzi kwenye Kilimo” Shaban Juma- DED H/W Tanganyika.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mhe Hamad Mapengo amewahasa viongozi wapya wa Serikali za Mitaa kufanya kazi kwa ushirikiano na Madiwani pamoja na wataalam wengine, ili kutekeleza ahadi zao pamoja na Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM.

Katika Mafunzo hayo faida za kuwekeza UTT AMIS zilitajwa ikiwa ni Utalaamu, urahisi, usalama wa fedha ukisimamiwa na Mamlaka ya Masomo ya Hisa na Dhamana, Benki Kuu, CRDB, Mkaguzi wa Hesabu za Serikali nk pia uwazi, ukwasi, kikomo cha uwekezaji na uratibu mzuri, ambapo mtu mmoja au kikundi chochote kinaweza kuwekeza na kupata faida baada ya muda fulani.

Nae Meneja Mahusiano Biashara na Serikal wa CRDB kanda ya Kusini ametoa ufafanuzi mzuri wa SAMIA INFRASTRUCTURE BOND.

“Benki ya CRDB ina uzoefu mkubwa wa kusimamia miradi ya Serikali, hivyo tunaangalia Serikali inataka nini na tunajivunia kwenda sambamba na matakwa ya Serikali ikiwemo kusimamia SAMIA INFRASTRUCTURE BOND ambao ni uwezeshaji ambapo Mwananchi anaweka kwenye akaunti kisha unapata faida ya 12% kwa mwaka na kwa muda wa miaka 5 unapata hela yako na faida kwa pamoja”

“Lengo la wazo hili ni fedha hizi zinazopatikana zitumike kwenye uendelezaji wa Barabara za Mitaa na Vijijini zilizo chini ya TARURA. Na nina uhakika barabara hizo zitakuwa kwenye ubora mkubwa.”

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • WABUNGE WA KATAVI, RUKWA NA KIGOMA WATEMBELEA BANDARI YA KAREMA; WAPONGEZA UJENZI WA MELI NA BANDARI YA KISASA.

    May 12, 2025
  • JIMBO LA UCHAGUZI LA MPANDA VIJIJINI LABADILISHWA JINA.

    May 12, 2025
  • KIKAO CHA KUPANDISHA VYEO H/W YA TANGANYIKA CHAFANYIKA

    May 08, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.